Posts

Sakata la kibuyu

Usikose movie hii inayo itwa kibuyu  #nb:kama una maoni ushauri namba zetu ni zile Zile #0656855493 Thanksall fans

SAKATA LA STIKI

Image
sio sili vijana hawa wanaweza  Tazama video hii kisha nipe asilimia BEN TYGA NA KIKUNDI CHAKE ENDELEA KUIFUATILIA BLOG HII KWA VICHEKESHO ZAIDI #ngikatheboy together we can Nb:kama una maoni ushauri Namba zetu ni 0656855493 Whatsapp only or text KWA VIDEO ZAIDI ZA VICHEKESHO BOFYA HAPA
Image
WAFANYAKAZI WA DIZAINI HII TUWAEPUKE ILA SWALI LINAKUJA JE TUTA WAEPUKA VIP WAKATI SIE HUA TUNASHINDA MA KAZINI KWETU ANGALIA VIDEO HII KISHA TUJE TU DISKASI PAMOJA NAWE JINSI YA KUSHIRIKI NI RAHISI SANA  BOFYA HAPAAA =====>>  ngikatheboyTZ <======= au unaweza kushiliki kwa kushuka chini na kuacha namba zako kisha mie nitakuunga whatsapp kwa mawasiliano zaidi note; THANKS ALL MY FRIEND ASANTENI SANA WOTE MLIO TEMBELEA BLOG HII PIA USISAHAU KUMWAMBIA RAFIKI YAKO KWANI BLOG HII NI YA WOTE NB,, NGIKA THE BOY FAHARI YA SHINYANGA 0759380267 NA 065655493 KWA WHATSAPP ONLY AHSANTENI SANA fahari ya shy

MADEMU AMBAO HAWAJUI KINGILEZA UTAWAJUA LIKE HUYU 👉

Image
Nduati  &  his gf Mueni on watsapp Nduati : Hi dear. Mueni : ✋ Nduati: how are you .?? Mueni : 😊👍 Nduati : missing me..? Mueni : 😜😉 Nduati : I'm not feeling well... Mueni : 😱 Nduati : How was your day..??? Mueni : 👌 Nduati : are you busy.?? Mueni  : ✔ Nduati : Why ?? What are you doing ?? Mueni : 💄💅 Nduati : is there anyone near you..?? Mueni  : ❌ Nduati : why don't you reply in words? Why are you using smiley faces? Mueni  :- 😥😡 Nduati : I heard you failed in English ?? Mueni : Who telled you ? It is unpossible.. I went to saw the resalt yestathey... I Passed away Nduati : hmmm lets go back to smileys pls 😳😳😳 Mueni :- Hokey ndia, God blast you. NOMAAAA XANAAA KWA VICHEKEDHO ZAIDI BONYEZA HAPA ====>>>>> ngikatheboyTZ <<<<<===== PIA ASANTE SANA KWA KUWA MFATILIAJI MZURI WA BLOG HII hata mimi naikubali ngika the boy pamoja brooo

viDeO zA SHyTowN

Image
video ya vijana wa shy town wakifanya yao ndani ya ley missanga tazama video hii by ngikatheboy

ToLeO JiPyA

Image
huyu ndio bloggerlidt wa shinyanga ungana nae  facebook na mitandao mingine kama  instagram na  twitter  bonyeza izo link ikupeleke moja kwa moja hadi kwenye wall yangu we need your sapport

NEW APPLICATION NGIKATHEBOY TZ APP

New usichelewe kupata vitu vipya aya sasa download application ya NGIKA THE BOY Kwenye simu yako ya android Bonyeza hapo chini kupata "BONYEZA HAPA KUPATA APP YA NGIKATHEBOY" We need your support Tuna hitaji ushirikiano wako asante

JINSI KUMPIMA MPENZI WAKO

Mwanaume mmoja aliwatongoza wanawake watatu tofauti na nia yake ni kufanya upembuzi yakinifu ili mmoja wao awe mkewe. Hivyo jamaa aliamua kuwapa jaribio kwa kuwapa Tsh. 500,000/= kila mmoja huku akitaka kujua ni namna gani watazitumia. Mwanamke wa kwanza alitumia pesa yote kununua vipodozi. Alitembelea duka la vipodozi na urembo akajikwatua sawa sawa! Alivyorudi kwa mchumba wake akamwambia, "nimeamua kutumia pesa yote kwa ajili ya kujipamba ili nizidi kukupendeza machoni pako na kukuvutia maana nakupenda sana." Hakika yule mwanaume akapendezwa sana na mpenzi wake. Mwanamke wa pili alinunua zawadi kwa ajili ya bwana wake. Alinunua simu janja mpya kwa ajili ya bwana wake, saa ya kisasa, nguo na viatu vizuri. Alivyofika kwa bwana wake alimwambia, "pesa yote nimeitumia kununua hizi zawadi zako maana nina kupenda sana." Jamaa akafarijika sana Mwanamke wa tatu aliwekeza zile pesa kwenye soko la hisa na baada ya muda fulani alipata faida ya shilingi 2,000,0...

STORY KARI YA NIRAMBE APA

[11:59AM, 7/30/2015] Ngika: Hahahahah.....Chekini Hiii Mkiipenda Nitakuja Nayooo...... Utangulizi wa Story,,,, Nilipojiunga na elimu ya Sekondari nilikuwa mshamba sana na mambo ya mapenzi mimi wala nilikuwa siyajui na wala sikuwa na mawazo hayo.Nilipokuwa na wenzangu niliwasikia wakipiga stor kuhusu wasichana, na mimi nilikuwa nasapot tu ila kiukweli sikuwa najua chochote wala sikuwa na mazoea na wasichana wa pale darasani na ata wao walitambua hilo.Siku moja tulikuwa kwenye foleni ya kupata chai mda wa saa nne,shile ilikuwa ya kutwa ila saa nne tulikuwa tunakunywa chai pale shuleni.Nilichukua chai, nikawa naenda kukaa ila kabla sijafanya hivyo kuna dada alikuja na kunipamia kitendo kilichofanya chai yangu kunimwagikia na vipande vyangu vya mkate vikaloa.nilipomwangalia yule dada hasira zilinipanda kwa sababu dada yule alikuwa anatokea kidato cha pili sasa humu kwenye darasa la kidato cha kwanza amefuata nini? Nilimwangalia kwa hasira mda huo shati langu limeloa c...

VICHEKESHO MOTOMOTO

Kama Leo hujacheka bac Cheka kidogo ** CHEKA KIDOGO **     Majambazi waliliteka gari moja lililokuwa limesheheni abiria. Baada ya abiria kusachiwa na majambazi hao na kukutwa hawana pesa, majambazi wakasema kila mtu atapigwa viboko ( bakora ) kutokana na namba ya shati alilovaa. Aliyekuwa hana namba atasalimika Kazi ikaanza, jamaa alievaa jezi ya ROONEY wa Man U akapigwa fimbo 10, mwengine alievaa nguo ya 50cent akapigwa 50, n.k, sasa kwa pembeni kulikuwa na jamaa analia sana yaani kila akijiangalia kumbe alikua amevaa fulana limeandikwa LOWASA 2015 doh! Unajua kilichotokea ngoja niweke simu chaji!!! Kwa vichekesho zaidi bonyeza apo ==>  cheka kidogo

MAELEZO MAFUPI JUU YA BLOG

Paschal Tungu alifungua blogspot kwa madhumuni ya kufjkidha taarifa kwa watanzania na nchi jirani .       Salamu kwako unaesoma hapa  Kwajina naitwa paschal Tungu  Naishi shinyanga  Kwa mfano unahitaji Kufungua blog   Naomba uwasiliane na paschal kwa anuani zifuatazo  +Pascal Big   +Paschal Tungalaza   Au namba zilizopo chini  0759380267 ©® ™ 

NYIMBO ZA DIAMOND NA YOUNG KILLER

Image
Nyimbo mpya ya diamond nana Kama ulikua huja wahi kuiona video hii bonyeza apo chini kui tazama Bonyeza apa kutazama nyimbo young killer

REST IN PEACE MWAJUMA

Image
Pumzika kwa amani dada yangu kipenzi mwajuma  ilikua kama ndoto kumbe ndo unaniacha. mwajuma alizaalliwa mwaka 1995  akafariki mwaka 2015 tarehe 19-04- jumapili usiku kwa asie mfahamu mwajuma abonyeze apa ww mwajuma rest in peace   BWANA ALITOA BWANA AMETWAA JINA LAKE LIHESHIMIWE

HAMIDU FT YOUNG D

Bonyeza apa kupata waimbo wa hamidu ft young d nimekasilika Mzigo mkali "BONYEZA APA KU DOWNLOAD" kama unahitaji kuwa unapata nyimbo mpya acha email yak yako au whats app namba ya kua wa kwa kupata kitu kipya

JE SIMU YAKO INASUMBUA CHAJI

Naitwa paschal tungu paschal kama simu yako ina tatizo la kukata chaji basi mimi nimekutafutia ufumbuzi wa tatizo lako bonyeza apa

MAELEZO JINSI YA KUFUNGUA BLOG

NI BLOG ILIO UNDWA KWA MALENGO YA KUFIKISHA HABARI habari yako wewe unae soma apa mimi kwa jina naitwa paschal tungu ni admin wa blog hii kwa mfano na ww unahitaji blog yako wasiliana nami nikupe maelekezo jinsi yakufungua blog au bonyeza apa paschal tungu facebook au kuni chek kwe.ye blog yangu ni bonyeza apa ASANTE KWA KUCHAGUA NGIKA THE BOY

PASCHAL TUNGU

My information go it to see my info: https://m.youtube.com/channel/UC7xnd1d7m6vIqpcRxqs526Q  #au una weza kuni add facebook https://m.youtube.com/channel/UC7xnd1d7m6vIqpcRxqs526Q? kwa jina lililopo apo juu na ku like page yangu

MCHAGA NOMA

Image
Wazee wa kichaga noma!! Mzee mmoja alikuwa kila usiku anapita mbele ya bank anasimama, kisha anapiga honi, akitoka askari mlinzi, anaondoka. Hilo jambo likamkera sana askari mlinzi, akamvizia alipokuja tena akamkamata, akamuuliza kwa nini unakuja unapiga honi kisha unakimbia? Mzee akasema: Haki ya mungu babaangu, Nina pesa zangu katika account hapa bank naogopa usilale usingizi ndio maana kila siku usiku napita kukuangalia kama umelala... Post b y paschal tungu

AJALI

Image
bas la nganga linalofanya safar iringa kilombero limegongana uso kwa  uso na fuso kisha magar hayo kuteketea kwa moto huku maeneo ya miliman km kadhaa kutoka ruaha mbuyun kama unaenda moro. watu kadhaa wamepoteza maisha akiwemo dereva wa fuso hilo na wengne wamekufa kwa kuteketea na moto ajal hyo imetokea leo asbh saa 2 Post by Paschal tungu

SHINYANGA

Habari yako wewe unae soma Mimi kwa jina naitwa PASCHAL TUNGU Naishi shinyanga Lubaga ni kiongozi wa blog hii wewe ukiwa kama mfuasi wa NGIKA THE BOY nakuomba kuwa unaipa sapot ya kutosha blog hii kwa kupata habari kama vile; 1; Michezo 2; Siasa 3; Story za mapenzi za kusisimua 4; Story za kufunza kuchekesha 5: Picha za aina tofauti Ivyo ukiingia www.ngikatheboy.blogspot.com mfahamishe na rafiki yako kwenye blog hii Note;penda kukuza uchumi wako kumbuka kama wewe ni kijana na unahitaji kuweka nyimbo zako internet unashindwa pia unaweza kuwasiliana nami kwa anuani zifuatazo Simu; 0759380267 au 0653798996 Email; paschaltungu03@gmail.com Facebook; Paschal Tungu Shukrani kwa watu woote mnao ipa sapoti blog hii www.ngikatheboy.blogspot.com ™®©     ASANTENI SANA ™2014~2015