Posts

Showing posts with the label ngika the boy www.google.com

AJALI

Image
bas la nganga linalofanya safar iringa kilombero limegongana uso kwa  uso na fuso kisha magar hayo kuteketea kwa moto huku maeneo ya miliman km kadhaa kutoka ruaha mbuyun kama unaenda moro. watu kadhaa wamepoteza maisha akiwemo dereva wa fuso hilo na wengne wamekufa kwa kuteketea na moto ajal hyo imetokea leo asbh saa 2 Post by Paschal tungu

SHINYANGA

Habari yako wewe unae soma Mimi kwa jina naitwa PASCHAL TUNGU Naishi shinyanga Lubaga ni kiongozi wa blog hii wewe ukiwa kama mfuasi wa NGIKA THE BOY nakuomba kuwa unaipa sapot ya kutosha blog hii kwa kupata habari kama vile; 1; Michezo 2; Siasa 3; Story za mapenzi za kusisimua 4; Story za kufunza kuchekesha 5: Picha za aina tofauti Ivyo ukiingia www.ngikatheboy.blogspot.com mfahamishe na rafiki yako kwenye blog hii Note;penda kukuza uchumi wako kumbuka kama wewe ni kijana na unahitaji kuweka nyimbo zako internet unashindwa pia unaweza kuwasiliana nami kwa anuani zifuatazo Simu; 0759380267 au 0653798996 Email; paschaltungu03@gmail.com Facebook; Paschal Tungu Shukrani kwa watu woote mnao ipa sapoti blog hii www.ngikatheboy.blogspot.com ™®©     ASANTENI SANA ™2014~2015

Msimano ligi kuu TANZANIA BARA

Image
Huu ni msimamo ligi kuu tanzania bara ikiongozwa na yanga young africa Endelea kufuatilia blog hii kwa habari zaidi post by paschal tungu SHINYANGA