Posts

VICHEKESHO MOTOMOTO

Kama Leo hujacheka bac Cheka kidogo ** CHEKA KIDOGO **     Majambazi waliliteka gari moja lililokuwa limesheheni abiria. Baada ya abiria kusachiwa na majambazi hao na kukutwa hawana pesa, majambazi wakasema kila mtu atapigwa viboko ( bakora ) kutokana na namba ya shati alilovaa. Aliyekuwa hana namba atasalimika Kazi ikaanza, jamaa alievaa jezi ya ROONEY wa Man U akapigwa fimbo 10, mwengine alievaa nguo ya 50cent akapigwa 50, n.k, sasa kwa pembeni kulikuwa na jamaa analia sana yaani kila akijiangalia kumbe alikua amevaa fulana limeandikwa LOWASA 2015 doh! Unajua kilichotokea ngoja niweke simu chaji!!! Kwa vichekesho zaidi bonyeza apo ==>  cheka kidogo

MAELEZO MAFUPI JUU YA BLOG

Paschal Tungu alifungua blogspot kwa madhumuni ya kufjkidha taarifa kwa watanzania na nchi jirani .       Salamu kwako unaesoma hapa  Kwajina naitwa paschal Tungu  Naishi shinyanga  Kwa mfano unahitaji Kufungua blog   Naomba uwasiliane na paschal kwa anuani zifuatazo  +Pascal Big   +Paschal Tungalaza   Au namba zilizopo chini  0759380267 ©® ™ 

NYIMBO ZA DIAMOND NA YOUNG KILLER

Image
Nyimbo mpya ya diamond nana Kama ulikua huja wahi kuiona video hii bonyeza apo chini kui tazama Bonyeza apa kutazama nyimbo young killer

REST IN PEACE MWAJUMA

Image
Pumzika kwa amani dada yangu kipenzi mwajuma  ilikua kama ndoto kumbe ndo unaniacha. mwajuma alizaalliwa mwaka 1995  akafariki mwaka 2015 tarehe 19-04- jumapili usiku kwa asie mfahamu mwajuma abonyeze apa ww mwajuma rest in peace   BWANA ALITOA BWANA AMETWAA JINA LAKE LIHESHIMIWE

HAMIDU FT YOUNG D

Bonyeza apa kupata waimbo wa hamidu ft young d nimekasilika Mzigo mkali "BONYEZA APA KU DOWNLOAD" kama unahitaji kuwa unapata nyimbo mpya acha email yak yako au whats app namba ya kua wa kwa kupata kitu kipya

JE SIMU YAKO INASUMBUA CHAJI

Naitwa paschal tungu paschal kama simu yako ina tatizo la kukata chaji basi mimi nimekutafutia ufumbuzi wa tatizo lako bonyeza apa

MAELEZO JINSI YA KUFUNGUA BLOG

NI BLOG ILIO UNDWA KWA MALENGO YA KUFIKISHA HABARI habari yako wewe unae soma apa mimi kwa jina naitwa paschal tungu ni admin wa blog hii kwa mfano na ww unahitaji blog yako wasiliana nami nikupe maelekezo jinsi yakufungua blog au bonyeza apa paschal tungu facebook au kuni chek kwe.ye blog yangu ni bonyeza apa ASANTE KWA KUCHAGUA NGIKA THE BOY